Picha za bi Aneth akiwa salon
Kaka usiwe na wasiwasi kira kitu kitakuwa sawa
Nakushikia vazi lisichafuke mapema dada
Mmmmhh
Mungu ni mwema siku zote
Ndo tunaenda kufunga ndoa
Nitakulinda na kukuheshimu siku zote za maisha yangu
vaa hii pete kwa ishara hiyo.
Aneth akisaini cheti cha ndoa
Picha ya pamoja baada ya kufunga ndoa takatifu
Tutapendana na kulindana siku zote za maisha yetu
Maids katika pozi zuri la picha
Menu
Mwenyezi Mungu awaongoze katika ndoa yenu muishi kwa amani na upendo
No comments:
Post a Comment