KWA MAONI AU USHAURI TUMA KWA E-mail: lovenessbernard@gmail.com

Saturday, July 26, 2014

HARUSI YA BW. JOSEPH NA BI. RUTH

BAADHI YA MATUKIO KATIKA PICHA WAKATI WA HARUSI YA BW. JOSEPH NA BI. RUTH




Maharusi wakiingia ukumbini


 
  





Huyu ndiye.........


 

Hata kucheza tunajua



 

 Inua juuuu tukate Keki kwa usawiha

Tutakuwa Hivi mpaka siku yetu ya mwisho hapa duniani

Pokea mama asante kwa kila kitu na Mungu akubariki
Kwa kunitunzia Mume bora

 Kaka tunakaribia usiwe na hofu

Asante wazazi kwa kunilelea Mke mwema na hii ni zawadi 
yangu kwenu na Mwenyezi Mungu awalinde siku zenu zote 
hapa duniani

mda wa ndafu 



 Aaaaaaah kila kitu safi kabisa.


















Mwenyezi Mungu na awatangulie katika kila jambo mritendaro
 na ailinde ndoa yenu na  ikawe takatifu siku zote,Amen.

No comments:

Post a Comment