HAYA NI BAADHI YA MATUKIO KATIKA PICHA
WAKATI WA KITCHEN PARTY YA HABIBA
Hizi ni baadhi tu ya picha za Bi. Habiba
akiwa salon Gram box Masaki.

Angaria gauni la huyu mdada Habiba lilivyokuwa zuri.
Pozi tofauti tofauti za Bi. Habiba akiwa
salon Gram box Masaki.
Akiwa na rafiki yake wifi yake kwenye pozi.
Bi. Habiba akiwasili ukumbini.

Mama wa Bi. Habiba akitoa neno la nasaha
kwa bintie.
Bibi akitoa neno la nasaha.

Bi. Habiba akitoa neno la shukrani.
Hawa ni wafanyakazi wake Bi. Habiba
Hawa ni mawifi zake Bi. Habiba.
Mama akimkabidhi mwanae zawadi mbalimbali.
Bi. habiba akimzawadia mama yake zawadi.

Bibi naye alimpa Bi. Hidaya zawadi ya vyombo

Mmmmmmhh balaaaa we acha tu usiseme amevuna
kwelikweli.




Mawifi wakileta sanduku.

Hizi ni baadhi tu ya picha za Bi. Habiba
akiwa salon Gram box Masaki.

Angaria gauni la huyu mdada Habiba lilivyokuwa zuri.
Pozi tofauti tofauti za Bi. Habiba akiwa
salon Gram box Masaki.
Nambie Mc Dida wa mchopanga akiwa kazini.
Bi. Habiba akiwasili ukumbini.
Bi. Habiba akikata keki aliyoandaliwa
katika usiku wake.
Picha chini Bi Habiba akilishwa keki na mama yake
Bi. Habiba baada ya kuwasili ukumbini sasa ni wakati wa kufungua
Champagne

Mama na mwana wakinya Mvinyo.
Baadhi ya zawadi alizokabidhiwa Bi.Habiba katika
Kitchen Party.

Mama wa Bi. Habiba akitoa neno la nasaha
kwa bintie.
Bibi akitoa neno la nasaha.

Bi. Habiba akitoa neno la shukrani.

Hawa ni wafanyakazi wake Bi. Habiba
Hawa ni mawifi zake Bi. Habiba.
Mama akimkabidhi mwanae zawadi mbalimbali.
Bi. habiba akimzawadia mama yake zawadi.

Bibi naye alimpa Bi. Hidaya zawadi ya vyombo

Mmmmmmhh balaaaa we acha tu usiseme amevuna
kwelikweli.




Mawifi wakileta sanduku.

Akifungua mziki na mawifi zake.
No comments:
Post a Comment