Sherehe yako itafana kwa kuwa na mpangilio mzuri wa rangi zitakazotumika
kuanzia mapambo na mavazi ambayo yatatumiwa na maharusi na wapambe wao
kwani zitafanya muonekano wa siku hiyo kuwa wa
kipekee
bi harusi akiwa saluni akipambwa kwa ajili ya siku yake mhimu katika maisha yake
Wacha kabisa gari maalumu kwa ajili ya kuwabeba maharusi likiwa limepambwa kwelikweli
Kanisa la kiinjili kilutheri Azania front ndipo ndoa yao takatifu ilipofungwa na kuwafanya kuwa maharusi kuwa mwili mmoja
Wapiga tarumbeta nao hawakuwa nyuma katika kuifanya siku hiyo ya pekee kwa maharusi
Bi harusi akiwa tayari kuingia kanisani kufunga ndoa
Waoooooo! wamependeza kwelikweli tayari kwa viapo vya ndoa yao
Ibada ya ndoa yao takatifu ikiendelea kupamba katika kanisa la Azania Front
Ni yeye au si yeye? ni swali kwa bwana harusi kuthibitisha bi harusi ni mwenyewe au laa
Viapo vyao pamoja na kuvishana Pete
Maharusi wakisaini kuanza rasmi taasisi mpya ya ndoa
Watoto walio wasindikiza maharusi nao walipendeza kweli kweli
Waaaaooo beutiful African ladies they look so mwaaah!
Picha ya pamoja na wapambe waooo
No comments:
Post a Comment