Mavazi
ya asili ni mavazi ambayo yanaweza kuipendezesha harusi yako na
kuifanya iwe nzuri na ya kuvutia kwani itaufanya muonekano wako kuwa
maridadi kabisa tena inaweza kukupunguzia gharama ambazo msingi.
Kama
ilivyo kawaida rangi zinatakiwa kuwa katika mpangilio maalumu wa
kuvutia na kung'ara ikiwezekanoongea na wanamitindo au watu wenye ujuzi
na rangi pamoja na mitindo mbalimbal
Maridadi kabisa
Masai kamwe hawezi sahau asili yake
Tambua kuwa harusi yako itafana na ya kuwa tofauti kwa kuzingatia utamaduni ,mila na destuli ili watu waweze pia kutambua aina mbali tamaduni mbalimbali za kiafrika zaidi.
Keki nayo itengenezwe katika muonekano wa kiafrika zaidi umbo linavutia na kuifanya iwe ya kipekee kwa ajili ya siku yako hiyo muhimu kwa maisha yako
Muonekano wa ukumbi pia unavutia kwa kuonyesha vitu vya asili ya mwafrika viti na mapambo mengine kwa ujumla
Nimejaribu kuangalia mavazi ya asili ambayo yamechanganywa na vitenge ama kanga.
jaribu kuifanya sherehe yako iwe ya tofauti
Kwa msaada wa Tradition wedding
No comments:
Post a Comment