KWA MAONI AU USHAURI TUMA KWA E-mail: lovenessbernard@gmail.com

Friday, March 28, 2014

Jimmy na Zakia siku walipofunga ndoa

Bi.Zakia akiwa hatua za mwisho kabisa kupambwa tayari kwa hatua ya pili ya kufunga ndoa takatifu (kanisani).


Bi.Zakia akiwa kwenye pozi tofauti tofauti mara baada ya kumaliza kupambwa




Hapa Bi.Zakia akiwa na mpambe wake


Mr.jimmy na Bi zakia wakiingia kanisani kwa lengo la kufunga ndoa takatifu


Ntakupenda mpaka mwisho wa maisha yangu.Nahisi ni maneno waliyoambiana maharusi hawa.

Hali nzuri sana kwa maharusi baada ya kufunga ndoa wako bustanini kwa ajili ya picha za ukumbusho





Chezea keki wewe mc Godwin Gondwe akitoa maelekezo kuhusiana na keki



 Aaaaaahh watu weeeeeeeeeeeeewe acha nifurahi leo ndo leo hakuna kulala kabisa


Nikupe yote

Hapa je?Bi.Zakia akiwa kwenye pozi matata



Chezea shampeni wewe! wacha kabisa



Nani kama Mama? Mrs Jimmy akimkabidhi mama mkwe keki

                                       Je wajua sherehe bila shampeni hainogi? wadada na wakaka wakishindana    kufungua shempeni



No comments:

Post a Comment